Breaking News

KAZI YA DAMU YA YESU

Jifunzeni nafsi zenu,na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa  waangalizi ndani yake,mpate kulilisha kanisa lake Mungu , alilolinunua kwa damu yake mwenyewe.
*    Matendo 20:28
Kabla hatuja okolewa tulikuwa tumeuzwa tulikuwa tunamtumikia shetani kwa hiyo Mungu alilinunua kanisa kwa damu yake.
*    Waebrania 9:18
Tumepata utakaso kwa damu ya Yesu / Tumesafishwa dhambi ya damu ya Yesu.
*    1yohana 1:7
*    Ufunuo 1:5-6
*    Waebrania 10:10
Damu ya Yesu inatuingiza patakatifu.
Patakatifu ni kumpokea Yesu Kristo na kumwabudu katika Roho na kweli
Patakatifu tunaingia kwa damu ya Yesu na ndie mtete wetu.
*    Waebrania 10:19-25
Tmekombolewa kwa damu ya Yesu Kristo na sio kwa vitu vinavyo halibika
*    1yohana 1:1-7
Wote waliompokea aliwapa uweza wa kufanyika kuwa wana wake.
v  Yohana 1:12

No comments