Breaking News

KUOKOKA MAANA YAKE NI

Kuokoka Ni kupona kutoka kwenye tukio baya.
Kuokoka  Ni kumkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana …..
v  Warumi 10:9
Tunamkiri  Yesu tukiwa Duniani  na kwa kusikia neno la Kristo lisilo ghoshiwa au kweli kwa kupita watumishi wa Mungu walio mtumwa nayeye(Yesu Kristo).
v  Warumi 10:17
Mtu akioka anapokea msamaha wa dhambi zake.
v  Warumi 3:20
v  Waefeso2:1
Kuokoka ni kuzaliwa  mara ya pili ila si katika mwili bali ni katika Roho na kwa maji(Ubatizo).
v  Yohana 3:1-7
Mtu akiokoka jina lake linaandikwa kwenye kitabu cha uzima.
v  Ufunuo 20:15
Mtu akiokoka anafanyika kuwa mwana wa Mungu.
v  Ufunuo 3:20
Mtu akiokoka ana kuwa salama.
v  Ufunuo 3:20
v  Mathayo 18:11-14
Tumeokolewa kwa pendo la Kristo na si juhudi zetu .
Wokovu tume upata ni kwa neema tu.

No comments