NDOTO
NDOTO
Mungu hutumia ndoto kama njia ya kusema
na mtu ni kumjulisha yalliyo kusudiwa
inaweza kuwa kuhusu ufalme wa Mungu,ufalme wa giza (kuzimi) na duniani pia.
*
1wafalme 3:5-15
Mara nyingi Mungu husema na watu au mtu
kupitia ndoto ila watu hawajajua kuwa Mungu anawapa maelekezo wao huupuzia na
kuona ni kawaida.
*
Mwanzo 15:1
Mara nyingi ndoto hutoa picha ya mambo
yatakayo tokea kwa mtu .mfano mtu anaota msiba lakini inatokea kwenye ulimwengu
wa mwili kama alivyoota.
VIGEZO VYA MUNGU KUMKUBALI
MTU
1.Inategemea ntu amejitoa kwa kiasi gani
kwake Mungu.
Mungu hukuza watoto wake kwanjia
mbalimbali moja wapo ni ndoto.
LENGO KUU LA MUNGU
KUZUNGUMZA KUPITIA NDOTO
1.Ni njia rahisi ya Mungu kusema na mtu
*
Mwanzo 15:1
2.Hutumia ndoto kuzungumza na mtu kwa
sababu watu wengine ni waoga kwa hiyo Mungu hawezi kusema nao kwa njia ya wazi.
3.Ni kumpatia mtu ramani ya safari anapo
kuwa duniani.
4.Ni kumpatia ufahamu mtu juu ya
kuenenda duniani n.
Ndoto inapo kuja kwa kujirudarudia mara
nyingi ni picha ya tukio liko kalibu kutokea.
* Yohana
3:8-
* Mithali
1:6
Hakikisha unapoota ndoto unaiandika hiyo
ndoto haijalishi ni mbaya au ni nzuri.
Sababu za kuandika ndoto.
1.Inawezekana kwa wakati huo unaota hiyo
ndoto bado ni mchanga kiroho kwahiyo
utakapo kuwa itasaidia kumkumbusha Mungu juu ya lile jambo alilosama na
wewe.
2.Ili kuwa na nguvu ya maombi na ili
kuruhusu upako wa maombi.
*
Habakuki 2:1-2
Kuna ndoto zingine zinatokana na
shughuli za mtu alizozifanya mchana kutwa au mwazo ambayo mtu anawaza kwa muda
mrefu.
Changamoto shetani akijua kuwa mtu aliye
moyoni kwa mtu nani msada wa huyo mtu hutumia picha ya mtu huyo kwa namna iliyo
mbaya ili kuvunja imani juu ya mtu unayemtengemea (kuleta faraka).
Mtu ukiota Mtumshi au mtu aliye ndani ya
moyo wako anakusaidia sehemu Fulani inapaswa kushukuru na kumuombea ulinzi na
ukiota jambo baya vilevile anza
kumuombea ndipo Bwana ataanza kushulika na pepo anaye halibu ufahamu wako.
No comments